NAFASI Za Kazi Morogoro Municipal Council

NAFASI Za Kazi Morogoro Municipal Council
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya Mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 na kibali cha Ajira Mbadala chenye Kumb.Na. FA.228/613/01G/049 cha tarehe 14/04/2025.
Hivyo Watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo.
