HUYU HAPA MUAMUZI WA MECHI YA FAINALI YA YANGA VS SINGIDA BS KESHO

HUYU HAPA MUAMUZI WA MECHI YA FAINALI YA YANGA VS SINGIDA BS KESHO
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemtangaza mwamuzi Ahmed Arajiga kutoka Manyara kuwa ndiye atakayechezesha mchezo wa fainali ya kombe la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars ambao utapigwa Jumapili Juni 29 katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar
Arajiga atasaidiwa na waamuzi wasaidizi Frank Komba (Dar es salaam) na Hamdani Said (Mtwara)
Mwamuzi wa akiba ni Tatu Malogo kutoka Tanga

Usikose kuitazama mechi hii ya YANGA vs SINGIDA BLACK STARS LIVE  bure kupitia simu yako download App yetu mapema inayorusha mechi zote live bure, pia App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK
BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD APP ITAKAYOKUWEZESHA KUTAZAMA MECHI HII LIVE BURE
