NAFASI Za Kazi Bagamoyo Sugar

NAFASI Za Kazi Bagamoyo Sugar
Bagamoyo Sugar Ltd ni kampuni tanzu ya Bakhresa Group, ambayo ina historia ndefu ya kukamilisha kwa ufanisi miradi yenye utata na ukubwa tofauti.
Bagamoyo Sugar inatangaza nafasi Mbalimbali za Kazi Kwa Watu wenye nia na Sita stahiki.
Kuona Ajira hizo na jinsi ya Kutuma Maombi tafadhali Donwload PDF ya Tangazo hapa chini;
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO
5 Comments

Habar kwamajina naitwa helly said selemani mkazi wa dar es Salaam, mbezi beach , na muhitimu wa kidato cha nne na nimefauru vizuri nilikuwa naomba ajira katika campuni yenu ya bagamoyo sugar mimi nimchapakazi asante
Naitwa juma Hussein chuwa nimehitimu kidato Cha 4 naomba kazi ktk company yetu my no,0696358409
Naitwa madracka mele nipo chalinze natafuta kazi ya ufund
Kuomba kazi jambo lingine kupata kazi jambo lingine
mungu ni mwema labda ikawa bahati yangu 0652728695 kwa pamoja tunaweza