KOCHA MKUU WA YANGA ATUA ISMAILIA YA MISRI

KOCHA MKUU WA YANGA ATUA ISMAILIA YA MISRI

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amejiunga na klabu ya Ismailia ya ligi kuu ya Misri

Hamdi ametua Ismailia baada ya kumaliza mkataba na klabu ya Yanga

Tetesi za Hamdi kutua Ismailia zilianza kuvuma jana mitandaoni na hatimae yametimia

Yanga sasa inarudi sokoni kusaka Kocha Mkuu atakayechukua mikoba ya Hamdi ambaye pia alichukua mikoba ya Sead Ramovic aliyetimkia CR Belouizdad

Msimu uliomalizika Yanga ilinolewa na makocha watatu ikianza msimu na Miguel Gamondi

Mpango ya Yanga ni kuajiri kocha mwenye wasifu mkubwa malengo yakiwa kufanya vyema katika michuano ya ligi ya mabingwa msimu ujao

Squid Game (S03) Ep4

MIENDELEZO YA MUVI HIZI NA NYINGINE DOWNLOAD APP YETU👇🏻👇🏻

App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK

BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD APP ITAKAYOKUWEZESHA KUTAZAMA MUVI BURE

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *