Hii hapa taarifa ya Prince Dube Baada ya kuumia jana

Hii hapa taarifa ya Prince Dube Baada ya kuumia jana

Mshambuliaji wa Yanga Prince Dube jana alishindwa kuendelea na mchezo dhidi yaa Prisons baada ya kupata majeraha ya nyama za paja ‘hamstring’

Dube anatarajiwa kufanyiwa vipimo zaidi kubaini ukubwa wa jeraha lake lakini ni wazi anaweza kukosa mchezo unaofuata dhidi ya Dodoma Jiji siku ya Jumapili

Majeraha hayo ni kama yamemtibulia Dube ambaye alikuwa katika mbio za kuwania tuzo ya ufungaji bora

Tunampa pole na kumtakia kila la kheri, apone haraka na kurejea katika majukumu yake

Get well soon Dube…!

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *